a
Mdo 26:18
;
1Yn 2:8
b
Rum 13:12
;
Efe 5:9
1 Thessalonians 5:4-5
4
a
Bali ninyi, ndugu, hampo gizani hata siku ile iwakute ghafula kama mwizi.
5
b
Ninyi nyote ni wana wa nuru na wana wa mchana. Sisi si wana wa giza wala wa usiku.
Copyright information for
SwhNEN